Golf Players

Magoli | SAMAKIBA 2-3 FEIBUI | Mechi ya Hisani | Nifuate Zanzibar 15/06/2024



Tazama magoli yote matano na penati aliyokosa Alikiba katika mchezo wa hisani, Team FEIBUI ikiitandika Team SAMAKIBA mabao 3-2 kwenye Dimba la Amaan Complex, Zanzibar.

Magoli ya FEIBUI (Fesal Salum Feitoto na Abdulaziz Makame) yamefungwa na Feisal Salum, Ibrahim Ahmada Hilika, na Dismas Novatus huku magoli ya SAMAKIBA (Mbwana Samatta na Alikiba) yakifungwa na Kelvin John ‘Mbappe’ na Mbwana Samatta.

Dakika ya 24, Team SAMAKIBA walipata penati lakini Alikiba alikosa….

32 Comments

Write A Comment